Events
Trending

KONGAMANO LA KIDA’AWA – AFRIKA MASHARIKI

🌍 Tukio la kipekee linalowakutanisha Masheikh wa Afrika Mashariki kwa ajili ya Da’awa, Elimu na Umoja!

📅 Tarehe: 27, 28 & 29 Juni 2025
📍 Mahali: Uwanja wa Mirongo, Mwanza – Tanzania

🎯 Kaulimbiu: “Amani, Imani na Mshikamano”

🌐 Usikose kufuatilia moja kwa moja kupitia:
📺 Mainstream media: Africa TV, TV Imaan, Radio Imaan, Qiblatein fm
📱 Online media: Ihsaan, Al-Hajaar TV, Imaan Digital, Kishk Tv.

👉🏾 Fursa adhimu kwa Waislamu wote kuhudhuria, kujifunza, kuungana na kuimarisha Da’awa.

Abdulrahman Omary Ibrahim

Photo & Videographer

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button